Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 944
- 1,271
T Bag himselfTheodore Bagwell..
T Bag himselfTheodore Bagwell..
ngoja season zifike 9 kwanza maana prison break season 5 inaanza mwezi ujaoUnaona eehe!
amechanganya huyo eti prison break ni ndefu kuliko 24Urefu unaouzungumzia ww n upi...sijakuelewa
Huyo kichaa yumo tenaT Bag himself
Stirke back.....Yeees that's my series!! Sijui itaendelea season 6 au ndo basi tenaZote za kawaida kiboko ni
Tyrant
Strike back
I can't imagine John Porter asingekufa kwenye ile season 1. Nahisi kwenye list ya series bora ingekua hiviStrike Back.
Yaan tyrant ni ushuz kabsa kwa hzo hapoZote za kawaida kiboko ni
Tyrant
Strike back
Kama mm mzee kusipokua na matukio ya namna ile halaf bingwa kama Khohe ktk IT deptment aisee sioni ladha yake.... Jack hashindwi akiamua na mbaya zaid hua anamzunguka hata rais na kulianzisha mwenyewePrison break niliielewa season 1na 2..ni best kwa kwel..ila kuanzia season 3 hapo naona figisu nyingiii mpk ladha inapotea ya muvi....24 level nyingine,ile ni shida aisee hasa kwenye mpangilio wa matukio,ni shida ile series...imefikia hatua series nnazoziangalia km hazifanan fanan na 24,hta mda wa kuziangalia sina kbsa...24 imeniharibu...ile SERIES ni shida
Kama mm mzee kusipokua na matukio ya namna ile halaf bingwa kama Khohe ktk IT deptment aisee sioni ladha yake.... Jack hashindwi akiamua na mbaya zaid hua anamzunguka hata rais na kulianzisha mwenyewe
Aaah mkuu acha masihara wwYaan tyrant ni ushuz kabsa kwa hzo hapo
Ndugu tyarrant kitu gan bhana,,,ha ha haAaah mkuu acha masihara ww
mkuu hivi hujui prison ndio series inayosubiliwa kwa hamu kila kona ukiacha na walking dead, designated surviver,legacy 24 na nyingine nyingi tu.Aaah mkuu acha masihara ww
Designated SurvivorSidhani kama iliendelea baada ya season 10.
Ila Bauer kaigiza series nyingine kama Rais wa Marekani, nimeona wanaitangaza juzi kati.
Inaonekana tamu sana, ngoja nikumbuke jina lake niilete hapa.
Yaa Prison break naikubali ila Tyrant & Strike back n habari ya mjinimkuu hivi hujui prison ndio series inayosubiliwa kwa hamu kila kona ukiacha na walking dead, designated surviver,legacy 24 na nyingine nyingi tu.
Inaitwa designated survivor hiii ni nouma right now naiangalia hapaSidhani kama iliendelea baada ya season 10.
Ila Bauer kaigiza series nyingine kama Rais wa Marekani, nimeona wanaitangaza juzi kati.
Inaonekana tamu sana, ngoja nikumbuke jina lake niilete hapa.
Naiangalia hapa ina ma conspiracy hatari sana niko season 12 movie hii ni hatari....!!Designated survivor...