2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

comrade_kipepe Mjomba Malume Da'Vinci herman joshua hearly Ziroseventytwo hydroxo Countrywide Al-mukheef Mi mi moudgulf Poker
adrenaline BUSH BIN LADEN

🚨Breaking News: fainali inaweza kurudiwa!

FIFA imesema maamuzi tayari yamefanyika kupitia kikao chake cha dharula huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa asubuhi ya kesho.
View attachment 3634344

Kulingana na repoti kutoka vyanzo vya ndani, Kocha wa Argentina amedai kuwa baada ya mechi kulikuwa na matukio yasiyo ya kawaida kwenye dressing room wakati wa half time.

Refa huyo aliendelea kusema, walichagua kukaa kimya wakati wa mchezo lakini waliapa kufunguka baada ya mchezo kuisha.

Ripoti ya Argentina ya malalamiko tayari imewasilishwa rasmi FIFA ikiomba uanzishwe uchunguzi.

Inadaiwa kwamba CCTV footage zinaonesha kuna vitu visivyokuwa vya kawaida (liquid substance) kuwekwa katika vyakula kwenye dressing room waliyotumia Argentina.

Madaktari na wataalamu wa FIFA wamebaini kuwa vimiminika hivyo vilikuwa na uwezo wa kusababisha misuli kukaza na mwili kuchoka.

Meanwhile, ile footage ambayo inasemwa kuwa ni ya siri, tayari imevujishwa na sasa imeanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
View attachment 3634336
Kufuatia haya madai, FIFA imeamua fainali kurudiwa upya.

Mechi hiyo ya fainali inatarajiwa kupangwa mwezi August tarehe 35
Mimi kwa sasa niache nipo kwenye sherehe za ubingwa mambo ya kurudia mtajua wenyewe
 
Maisha yanaenda Kasi sana
Mashabiki wa Argentina ndio mashabiki pekee waliochagua timu Yao kushangilia toka ligi inaanza
Na walivyofika final
Wakasema goti anaenda kudouble makombe
Punde si punde Goti amedhalilishwa uwanjani kiasi kile hadi anataka kupigana ngumi
Wao wanasema eti wamefurahi
furaha wanatoa wapi?
Tutawafuatilia
 
Habari ya mechi ya fainali kurudiwa imechelewa kunifikia.

Naomba radhi sana kwa kuandika uzushi wa kwamba Messi ametolewa.

Ngoja tusubi hiyo tarehe 33 mwezi wa August tuone nani bingwa.
Kabla ya hapo pia kutakuwa na mcheza wa hatua ya 16 bora wa marudio kati ya Spain na Portugal nao tunausubiri kwa hamu.
 
Maisha yanaenda Kasi sana
Mashabiki wa Argentina ndio mashabiki pekee waliochagua timu Yao kushangilia toka ligi inaanza
Na walivyofika final
Wakasema goti anaenda kudouble makombe
Punde si punde Goti amedhalilishwa uwanjani kiasi kile hadi anataka kupigana ngumi
Wao wanasema eti wamefurahi
furaha wanatoa wapi?
Tutawafuatilia
FB_IMG_1784651527667.jpg
 
Back
Top Bottom