comrade_kipepe Mjomba Malume Da'Vinci herman joshua hearly Ziroseventytwo hydroxo Countrywide Al-mukheef Mi mi moudgulf Poker
adrenaline BUSH BIN LADEN
🚨Breaking News: fainali inaweza kurudiwa!
FIFA imesema maamuzi tayari yamefanyika kupitia kikao chake cha dharula huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa asubuhi ya kesho.
View attachment 3634344
Kulingana na repoti kutoka vyanzo vya ndani, Kocha wa Argentina amedai kuwa baada ya mechi kulikuwa na matukio yasiyo ya kawaida kwenye dressing room wakati wa half time.
Refa huyo aliendelea kusema, walichagua kukaa kimya wakati wa mchezo lakini waliapa kufunguka baada ya mchezo kuisha.
Ripoti ya Argentina ya malalamiko tayari imewasilishwa rasmi FIFA ikiomba uanzishwe uchunguzi.
Inadaiwa kwamba CCTV footage zinaonesha kuna vitu visivyokuwa vya kawaida (liquid substance) kuwekwa katika vyakula kwenye dressing room waliyotumia Argentina.
Madaktari na wataalamu wa FIFA wamebaini kuwa vimiminika hivyo vilikuwa na uwezo wa kusababisha misuli kukaza na mwili kuchoka.
Meanwhile, ile footage ambayo inasemwa kuwa ni ya siri, tayari imevujishwa na sasa imeanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
View attachment 3634336
Kufuatia haya madai, FIFA imeamua fainali kurudiwa upya.
Mechi hiyo ya fainali inatarajiwa kupangwa mwezi August tarehe 35