nakupa pole sana.Nooooo🥹
ila huko social media kila mtu ni Spain leo
nakupa pole sana.Nooooo🥹
yaani...binadamu kazi kweli kweli, hatupendi kabisa kushindwa sijui ni kwaniniJana nilisema hapa
Ukitaka kuona watu walivyo wanafiki na hawaipendi Argentina subiri ifungwe
Ndo unachokina sshv
Team spain since day 1 tunajuanq wale wa goat wamekumbia uzi
😅😅tatizo watu ni wabishi snWanatafuta namna gani wambebe hata kwa kipenati cha mchongo.
Dogo Yamal anaenda kuamulia hili 2nd half
My dear jana mpira ulinishinda hii video nili recod nikiwa kitandani nasikia kwa mbali Messi lol pureshaaaaAu ulikuwa hujawaona hawa watt wakichwza na Austria ma tema nyingine???
Hawa watt noma
PoleeeMy dear jana mpira ulinishinda hii video nili recod nikiwa kitandani nasikia kwa mbali Mara Lamine lol pureshaaaa
Nilitaka nimtumie uran nimwambie nipo kwa bed yamenishinda🥹🥹🥹
Wanafiki sana 😢nakupa pole sana.
ila huko social media kila mtu ni Spain leo
Na ukapata usingizi kabisa?Abeee
Kwetu raha
Jana nilienda kulala baada half time
mimi nilikuwa timu CuracaoWanafiki sana 😢
Unakumbuka nilichosrma jana, mkifungwa ndo mtajua watu hawapendi Argentina 😅😅Wanafiki sana 😢
Ndio nilikuwa na uhakika na vjn wangu😅😅Na ukapata usingizi kabisa?
Sawa bana tusubiri tena 2030mimi nilikuwa timu Curacao
Mashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha BarcelonaNumbisa
Lamomy
Saint Anne
Da'Vinci Angel Nylon hawa na wengine wachache sijashika majina yao ndo najua team spain ht tungefungwa tungekubali matokea...😅😅😅
Bila kusahau Scars walimsemq sn
NdioMbuzi kumbe wamemnywa supu kabla ya Christmas 😅😅😅😅😅
Scars huyo alikuwa anabadilisha timu kila siku ya Mungu, timu yoyote akigusa lazima ipigwe.Numbisa
Lamomy
Saint Anne
Da'Vinci Angel Nylon hawa na wengine wachache sijashika majina yao ndo najua team spain ht tungefungwa tungekubali matokea...😅😅😅
Bila kusahau Scars walimsemq sn
wanafiki sanaMashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha Barcelona
Wakati tangu mwanzo walikuwa Argentina
Eti leo wanaact kama wamefurahi pia Spain kushinda
Tunawajua 😅😅😅Mashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha Barcelona
Wakati tangu mwanzo walikuwa Argentina
Eti leo wanaact kama wamefurahi pia Spain kushinda
Lkn wamemuonea sn kisa anampenda Ronaldo 😅Scars huyo alikuwa anabadilisha timu kila siku ya Mungu, timu yoyote akigusa lazima ipigwe.
utakuwa na umri gani? mumeo atakuruhusu? tuende uwanjani kabisaSawa bana tusubiri tena 2030