ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,760
- 43,992
Wanafiki sana 😢nakupa pole sana.
ila huko social media kila mtu ni Spain leo
Wanafiki sana 😢nakupa pole sana.
ila huko social media kila mtu ni Spain leo
Na ukapata usingizi kabisa?Abeee
Kwetu raha
Jana nilienda kulala baada half time
mimi nilikuwa timu CuracaoWanafiki sana 😢
Unakumbuka nilichosrma jana, mkifungwa ndo mtajua watu hawapendi Argentina 😅😅Wanafiki sana 😢
Ndio nilikuwa na uhakika na vjn wangu😅😅Na ukapata usingizi kabisa?
Sawa bana tusubiri tena 2030mimi nilikuwa timu Curacao
Mashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha BarcelonaNumbisa
Lamomy
Saint Anne
Da'Vinci Angel Nylon hawa na wengine wachache sijashika majina yao ndo najua team spain ht tungefungwa tungekubali matokea...😅😅😅
Bila kusahau Scars walimsemq sn
NdioMbuzi kumbe wamemnywa supu kabla ya Christmas 😅😅😅😅😅
Scars huyo alikuwa anabadilisha timu kila siku ya Mungu, timu yoyote akigusa lazima ipigwe.Numbisa
Lamomy
Saint Anne
Da'Vinci Angel Nylon hawa na wengine wachache sijashika majina yao ndo najua team spain ht tungefungwa tungekubali matokea...😅😅😅
Bila kusahau Scars walimsemq sn
wanafiki sanaMashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha Barcelona
Wakati tangu mwanzo walikuwa Argentina
Eti leo wanaact kama wamefurahi pia Spain kushinda
Tunawajua 😅😅😅Mashabiki wa Argentina wamejificha kwenye kichaka cha Barcelona
Wakati tangu mwanzo walikuwa Argentina
Eti leo wanaact kama wamefurahi pia Spain kushinda
Lkn wamemuonea sn kisa anampenda Ronaldo 😅Scars huyo alikuwa anabadilisha timu kila siku ya Mungu, timu yoyote akigusa lazima ipigwe.
utakuwa na umri gani? mumeo atakuruhusu? tuende uwanjani kabisaSawa bana tusubiri tena 2030
Sawa Spain ameshinda ila haibadili kua Ronaldo ana staafu bila kugusa medal ya WCUnakumbuka nilichosrma jana, mkifungwa ndo mtajua watu hawapendi Argentina 😅😅
Halafu watu hawaipendi argemtina ila messi
Ndoambqcho sikipemdi mie bora kapigwa
kabisa, ila ni jeshi la mtu mmoja. alikuwa anaweza kupangua kijiji kizima kwa hojaLkn wamemuonea sn kisa anampenda Ronaldo 😅
Mi sio fan wangu huyo ht hainipi shida ndo maana nilikuwa naboreka humu kila siku Ronaldo😅Sawa Spain ameshinda ila haibadili kua Ronaldo ana staafu bila kugusa medal ya WC
Nimesikia raha sana😅Ndio
Watt wa afu na 5 wamefanya yao😅😅😅