Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,711
Kula chuma hiko niko na rahaaaa
Kula chuma hiko niko na rahaaaa
Duuhh, wahuni pro maxNdo maana watu wengi walikuwa Wanataka Hispania ishinde!View attachment 3633185
Argentina wapuuzi
Dadeki nililala na mawazooo
Kweli tumerudi wenye roho mbaya pro. Hongera kwa ushindi wa dogo, I know we jana ulikuwa kotekote
Huyo Mbappé ondoa kwenye hiyo list hastahili kamaliza msimu trophyless
😂 Messi amekamilisha football, hii ilikuwa nyongeza tu. Tuonyeshe Penaldo akibeba kombe la duniaWalitusimanga sana. Wateseke na wao😂😂😂🤣🤣🤣View attachment 3633228
😂 Messi amekamilisha football, hii ilikuwa nyongeza tu. Tuonyeshe Penaldo akibeba kombe la dunia
Kumbe mbuzi alilia sana eeh!!!? me nilimuona kakaa tu hataki kuinuka....nikajua jana atalala uwanjaniWalitusimanga sana. Wateseke na wao😂😂😂🤣🤣🤣View attachment 3633228
Kumbe mbuzi alilia sana eeh!!!? me nilimuona kakaa tu hataki kuinuka....nikajua jana atalala uwanjani