Ulimbeba wewe hapoUlimbeba wewe?
Messi ameutendea haki mpira wa miguu hatuna la kumdai kwa sasa. He’s done so much for this sport manChukua hii ujiliwaze
View attachment 3633152
Hayo sio maneno mapya kwa wafuasi wa MessiMessi ameutendea haki mpira wa miguu hatuna la kumdai kwa sasa. He’s done so much for this sport man
Mengine atuachie sisi tu kwenye kuwakanda mashabiki wa Penaldo
Labda avizie Kombe kisha akimbie naloMessi anachukua tena kiutani
Dkk 120 hakuna shots on target 😂Wachezaji 11 ndani ya dakika 90 wana zero shot??
Kweli nimeamini panya wengi hawachimbi shimoView attachment 3633156
Raja mtalii tapeli 😂…raya kavaa gloves na alikuwa benchi mechi zote
Hajafika kvp na aliwahi kuchukua hy tuzoHuko hajafikia, Kombe la Dunia linamtosha
😂Messi got less touches (15) than Spain's goalkeeper (23) in the 1st half now
No one will say anything
View attachment 3633157
Tapeli wa kwanza ni huyuDkk 120 hakuna shots on target 😂
Hawa majamaa ni matapeli
Hakuna sherehe hapo wewe inawezekana ukawa unaumia kwa ndani maana umekuwa ukiwaponda sana wachezaji wa BarcelonaTulia wewe usiniharibie sherehe.
Sherehe yenyewe unaiona bado mbichi halafu unaanza kunichanganyia habari.
Hata hiyo moja mmeikosa 😂Spain wasitulaum, Argentina tunataka shot on target 1 tu tumalize mechi. Jambo lingine Spain wasijichanganye Argentina akaenda matuta, hakika MESSI 🐐 👑 atabeba tena kombe