Doria Mtandaoni
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 320
- 667
Fainali kali unasema mbovuFainali ilikuwa France vs Spain , sijawahi ona fainali mbovu kama hii
Fainali kali unasema mbovuFainali ilikuwa France vs Spain , sijawahi ona fainali mbovu kama hii
Hata Ronaldo wa 41 hizi cross angefungaHii Spain ingekuwa na Striker level za villa au Ferdinando Torres, wangemaliza mechi ndani ya dk tisini.
Ukali wake ni upi ?Fainali kali unasema mbovu
Mechi ilikuwa nzur imechangamka sio kama hii ya upande mmojaFrance aliyepigwa
Badala ya Messi unataka nani awekwe?Kwenye Ballon d'Or eti Messi ndio jina la kwanza.
Aaah kumamamake hizi tuzo zimekaa kindugunization na connection.
Bila kuwa na mtu kwenye system huwezi kupata.
Imagine hii mechi bado haieleweki Messi anacheza nafasi gani kiwanjani.
Unaweza kudhani labda mechi ya leo imechezeshwa na marefarii wawili uwanjani kwasababu wote hawagusi mipira japo mmoja unaweza kumuona kwenye faulo.View attachment 3633021
Unazani wanapenda wamezidiwa uwezo.Lazima uwe na plan na plan ni kupaki bus.Argentina wametuharibia finali . Ilitakiwa hapa watu wapishane mwanzo mwisho
Off target wanazo ngapi 😂Itakua aibu sana kama argentina watachukua hili kombe. Dakika zaidi ya 100 no shot on target!🙁