Lakini mimi nalihesabuWamekataa
Emiliano Martinez ana saves 10
Tumeshambuliwa sana mamaeh
Ndugu yangu tunapumulia gesi
Mkuu hawa watoto hawajui mkuki baba anauficha wapi..Mtafungwa tu
Yaani tupigwe na Ferran Torres?Tulia mpigwe vizuri
Baadae utasikia wahuni wanasema tumebebwaKipa bora aliyepata changamoto za maana