Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,344
Mambo yasiwe mengi 😂😂😂…bora umejiwahi
Mambo yasiwe mengi 😂😂😂…bora umejiwahi
Bila trophy ni ngumu sanaTuzo tatu za moto
Maisha ni bahati, ronado timu yao kwenye kombe la DUNIA Haina historia yoyote ni ya kawaida zana…eti zubimendi anae medali ya world cup afu ronaldo hana
Naona upo kwenye heka heka za kuunganisha stuli na meza ili upate kitanda
weWe ndiye umeongea ukweli.Maisha ni bahati, ronado timu yao kwenye kombe la DUNIA Haina historia yoyote ni ya kawaida zana
Ameona haijiMessi mpaka saizi amegoma kuondoka uwanjani
Bado anasubiria apewe penati yakeView attachment 3633141