comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,121
- 16,123
Hii jambajamba wanayopewa Spain wawe makini
😂😂😂😂 Umeanza kujamba, acha uoga team ronado hii mmebebaSpain wajitahidi tu kuzuia dakika ziishe
Hawa wajinga sio wa kwenda nao matuta
Purukushani za mtu anayebakwa hazina maana yeyote.Argentina wabishi sana aisee
We huwajui Spain, hao ni specialist wa kunulify timu nyengine unless umeanza kuangalia mpira juzi.Spain wangekuwa kwenye form mpira ungeisha dakika 90. Fainali mbovu sana hii, unacheza na timu haina on target wala off target dakika 100+ na wala haijapaki basi unaenda unampa kipa mipira tu. Kila ukienda kushambulia unajivuta kama mlenda, mpaka mrundikane golini mpige chenga na mbwembwe nyingi, mpige na mashuti dhaifu. Mpira gani huo.
Unaona goli lilivyotokea ilikuwa ni mchomo mkali. Sasa muda wote walikuwa wanashindwa nini.
Leo nimejua unamahaba sana we mzee.Hawa wasenge wamekaa ndani wameamua watu editie na Photoshop eti saizi ndio wanatoa picha za 3D kuonyesha offside
View attachment 3633034
We ndio unaona leo?Otamendi muongo muongo huyu jamaa
Kombe la mbeleko😂
Daah mwamba kweli huwapendi ArgentinaPurukushani za mtu anayebakwa hazina maana yeyote.
Kwasababu mitikisiko yeyote haitaonekana kama jitihada za kujinasua bali ataonekana kama anaukatikia.
Nitoe kwenye upuuzi wenu wa uteam sijui nani😂😂😂😂 Umeanza kujamba, acha uoga team ronado hii mmebeba
😹😹😹 Mbappe muda huo yuko wapi?Greatest Of All Time alikuwa anaweka gap kwenye analysis yake ya Top Scorer 🤣🤣🤣