2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Spain wangekuwa kwenye form mpira ungeisha dakika 90. Fainali mbovu sana hii, unacheza na timu haina on target wala off target dakika 100+ na wala haijapaki basi unaenda unampa kipa mipira tu. Kila ukienda kushambulia unajivuta kama mlenda, mpaka mrundikane golini mpige chenga na mbwembwe nyingi, mpige na mashuti dhaifu. Mpira gani huo.

Unaona goli lilivyotokea ilikuwa ni mchomo mkali. Sasa muda wote walikuwa wanashindwa nini.
We huwajui Spain, hao ni specialist wa kunulify timu nyengine unless umeanza kuangalia mpira juzi.

2010 moja ya timu Bora kupata kutokea ilikua hivi Hadi wanaochukua Kombe na hata goli la inisesta lilikua extra time

Sasa hivi pia hivyo hivyo hawashindi magoli mengi ila wapinzani wanakuwa nullified kabisa kama ambayo hukumuona Mbappe na Dembele na Leo humuoni Messi na Alvarez.

Toka uzaliwe umeona wapi Fainali dakika 120 timu haina on target hata moja? Kama umewahi kuona timu iliozidiwa kama hivi tutajie, otherwise Leo record inawekwa one sided world cup ever.
 
WALIOOONA THREAD YANGU YA UTABIRI
.FT DRW
.ETC ANASHINDA SPAIN

ANAGLIENI SALIO SOOOOON

HAHAHAHA 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 CONGRATULATION'S LOADING
 
Kombe la mbeleko😂
IMG_0896.jpeg
 
Back
Top Bottom