2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kataeni na hilo



Goli bora la mashindano limefungwa fainali
 
Mbio za Janjajanja huishia uliongoni
Kweli hakuna janjajanja zisizo na ncha😂😂😂😹😹😹😹😹😹
Timu limebebwa bebwa huko nyuma

Ona halinapiga on target hata moja 120minutes

Wote tunaona final ilivyo unachezwa upande mmoja

Kwa sababu tu kuna litimu lilipitapita kijanja
Halikustahili kufika final
 
Argentina hakuweza kukutana na timu ngumu.

Timu yao ni ya kawaida tu.

England ni ujinga wao tu kuwaza kushikilia bomba mapema.
Messi kufika fainali ilikuwa ni business project.

Ndio maana akawekewa wapinzani dhaifu ambao nao walikuwa wanaumizwa na maamuzi ya hovyo.

Imagine Egypt alicheza faulo 11 na alipewa kadi 5 lakini ArgentFIFA walicheza faulo 14 na hawakuwa na kadi yeyote.
 
Argentina kwenye kukaba wana gape la watu wawili la Enzo aliyelimwa red na la Messi maana sioni kukaba
 
Back
Top Bottom