Una miaka 22 sio kosa lako mkuuIkitokea hivi kwa watu wasio hata na shot off target na wako punguza
Nitaachana rasmi na kuangalia mpira kwa umri huu wa miaka 22
Unavyoongea utasema team yako Spain😂Haki huwa inacheleweshwa tu
Messi kufika fainali ilikuwa ni business project.Argentina hakuweza kukutana na timu ngumu.
Timu yao ni ya kawaida tu.
England ni ujinga wao tu kuwaza kushikilia bomba mapema.
Spain hawajacheza kikubwa. Hii game walistahili kuimaliza mapemaUnaangalia game mdau?
Anasikiliza kwenye redio huyo na mtangazaji wake ni team Messi ko hapo hakuna Kinachosikika zaidi ya kumsifia messi na Argentina tuUnaangalia game mdau?