Spain wangekuwa kwenye form mpira ungeisha dakika 90. Fainali mbovu sana hii, unacheza na timu haina on target wala off target dakika 100+ na wala haijapaki basi unaenda unampa kipa mipira tu. Kila ukienda kushambulia unajivuta kama mlenda, mpaka mrundikane golini mpige chenga na mbwembwe nyingi, mpige na mashuti dhaifu. Mpira gani huo.Kwamba mashuti zaidi ya 20 na goli moja na save kama zote za Emiliano Spain hawafanyi kitu?
Toka nizaliwe nimeangalia fainali zote toka 1998 world cup hakuna fainali one sided kushinda hii, inafanana na PSG na inter ucl
Punguza chuki... Penaldo anakuita Portugal mkalee watotoMessi kufika fainali ilikuwa ni business project.
Ndio maana akawekewa wapinzani dhaifu ambao nao walikuwa wanaumizwa na maamuzi ya hovyo.
Imagine Egypt alicheza faulo 11 na alipewa kadi 5 lakini ArgentFIFA walicheza faulo 14 na hawakuwa na kadi yeyote.
Umesikiliza vzuri lakini??? 😂😂😂Mbuzi ametembea km 60 bila mpiraðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
What a shame
Ndiyo na ikitokea hivyo nitajua kuwa mpira ni utapeli na uchawi wa wazi wazi, nitaacha rasmiUna miaka 22 sio kosa lako mkuu
😂😂😂Sio timu yangu lakini Argentina kupoteza ni furaha sana