2026 FIFA World Cup - Special Thread

Dogo anajua mwamba ni Ronaldo
 
Ukitaka uone udhaifu wa argentina omba spain apate gori alafu uone msako utakaopigwa.....timu penadol acheni makasiriko Argentina ni timu strong sana
Ubora wa Argentina unaonekana zaidi zile nyakati ambazo mpinzani amekuwa dhaifu au mzembe.

Hakuna mechi ambayo Argentina kashinda akiwa bora na mpinzani akiwa bora na kwamba matokeo yaliamuliwa kwa ubora zaidi.

Mfano saizi tunavyiona hii domination kwa Spain ndio tulichokiona kwa England.

England alifanya uzembe kupaki basi baada ya kupata goli hapo ndio waliporuhusu mashambulizi makali.

Spain nao wakipita njia hizo hizo siwezi kushangaa wakifungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…