The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,887
- 117,060
Vijana wa Cr7 hao.Tangu mwanzo unamponda weeeee, leo umekubali🙆♂️
Vijana wa Cr7 hao.Tangu mwanzo unamponda weeeee, leo umekubali🙆♂️
Daaah shawarma,umenikumbusha znz.Chagua timu ukishinda itabidi niusindikize usiku wako na shawarma ya ngamia.
Umetoka wapi sijawahi kukuona huku🙄Lazima afunge huyo dogo kuna namna Argentina wanafanya sana makosa huo upande.
Msalimie classmate wako Trump naona yuko live.. 😹Mimi ndio refa, asante....🥰
Ila hawa madogo wa spain wanacheza aiseeHuyo andunje leo anapewa kipigo na team yake.. we tulia ujionee..!
Hio ndio ArgentinaHuyu jamaa kashika mpira makusudi ajalambwa hata yellow ? How
Watu tunaongelea kiwango cha YamalKwahiyo kombe litaenda kwa atakaye cheza vizuri tu sio?
Binafsi nashangaa!!!Huyu jamaa kashika mpira makusudi ajalambwa hata yellow ? How
Napendelea kusoma zaidi pande hizi crush, vipi uko upande gani kwanza?Umetoka wapi sijawahi kukuona huku🙄
Kakubali yaishe?Jmn si amestaafu au?
Mimi naongelea magoli,kwani lazima niongelee unachokiongelea wewe?Watu tunaongelea kiwango cha Yamal
Chagua sasa bado 0-0Daaah shawarma,umenikumbusha znz.