2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Being a messi fan isn’t easy

Imagine
Unatakiwa uitetee FIFA
Unatakiwa kuitetea Israel
Unatakiwa kuitetea CCM
Unatakiwa kutetea Ballon d'Or robbery
Unatakiwa kumtetea na Giani Infantino
Unatakiwa kutetea corruption
Unatakiwa kutetea scandal na kashfa za marefa

View attachment 3632514
Au siyo. Ngoja tukusapoti kinafiki.

mliopo kwenye huu uzi hakna hata mmoja ambae ni mod amfungie scars kukometn humu!? anaboa AF
Sioni shida kutetea anachokiamini. Ni jukwaa huru katika fikra anuai.
 
Picha la kutisha
IMG_0897.jpeg
 
Kwa Upande wangu mpaka sasa

Mfungaji bora: ?? (Tusubiri fainali)

Mchezaji bora: Lionel Messi

Mchezaji bora chipukizi: Curbasi

Golikipaa bora: Unai Simon

Goli Bora: Lopes Cabral, Cape Verde Vs Argentina

Mechi Bora: England Vs Argentina

Ushangiliaji bora: Norway

Timu iliyofeli kufikia malengo: Ureno

Timu iliyonishangaza: Norway

Mchezaji aliyeonyesha kiwango cha chini : Bruno Fernandes
Mechi bora England Vs Argentina 😃

Ile ilikuwa mechi ya mpira wa miguu au mashindano ya kurukiana mwilini ?
 
Kwa Upande wangu mpaka sasa

Mfungaji bora: ?? (Tusubiri fainali)

Mchezaji bora: Lionel Messi

Mchezaji bora chipukizi: Curbasi

Golikipaa bora: Unai Simon

Goli Bora: Lopes Cabral, Cape Verde Vs Argentina

Mechi Bora: England Vs Argentina

Ushangiliaji bora: Norway

Timu iliyofeli kufikia malengo: Ureno

Timu iliyonishangaza: Norway

Mchezaji aliyeonyesha kiwango cha chini : Bruno Fernandes
Safi.
Kwamba Messi anaweza piga zaidi ya goli moja?
 
Back
Top Bottom