adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,583
- 7,753
Imekuwaje Ufaransa kashindwa kumpiga kibonde Spain..shida ni niniHii mechi ingekuwa ni sisi Ufaransa tungeimaliza kitambo sana
Argentina wanakutana na vibonde
Imekuwaje Ufaransa kashindwa kumpiga kibonde Spain..shida ni niniHii mechi ingekuwa ni sisi Ufaransa tungeimaliza kitambo sana
Argentina wanakutana na vibonde
Mwisho wake leo😀
Ronaldo hana world cup kama akina Ramadhan Chobwedo tu... Baadae ndo utapata stress zaidi.2022 mlisema hivyo hivyo.
No trophy or achievement will ever be enough for Messi to make his fans end the debate against Ronaldo.
Haya chukua na hii hahaha
View: https://youtu.be/sQfTC1GYvRU?si=PcSTx_2KFl6DM0n8
Tena kwenye hii clip delima anasema kabisa alipofikia Messi anashindwa kusema yupo namba ngapi kati ya pele maradona na Messi mwenyewe
.😄😄😄
Yaani Messi anaweza kuwa hata #1
Weee jamaa Messi ni habari nyingine
So kama delima amecheza mpira Tena kwenye level kubwa ya mafanikio ana ukubali uwezo wa messi nakuona kwamba hata yeye mwenyewe hafikii level za Messi wewe Scars ni nani hasaa mpaka upinge wakati haujawahi kucheza hata league ya mbuzi mpira hauujui
Punguza jealous 😄😄
Ikiwa tofauti? Wenzako walibweka post nyingi mara bingwa France, mara bingwa England. Mpira haupo hivyo ndio maana mnaumia sana sababu mnakua na matokeo yenu kablaTukiacha unafiki na uzandiki, hii mechi ni ya uhispania, bingwa ni uhispania kabisa, sioni kama Kuna kitu Cha kuizuia Spain kuwa bingwa hii leo
Tupo, uzuri wa Messi yeye Hana shida na records anachotamka timu kwanza ipate ushindiArgentina mpo?
Miaka hii wewe ulikuwa bado hujaanza kushabikia mpira au ulikuwa tayari ila ni ule upepo wa Messi ulikuwa bado.Ronaldo hana world cup kama akina Ramadhan Chobwedo tu... Baadae ndo utapata stress zaidi.
Argentina 3 anapatia, Spain zile beki japo hazijaruhusu magoli mengi lakini hakuwa zimekutana na Messi.Argentina 2 Spain 1
Kwenye kundi la GOAT naye yumoUbishi wa Messi huwa unalazimishwa tu, hata wenyewe wanaobisha wanajua ukweli kuwa ni GOAT. Ronaldo ni Bora lakini hawezi kuwa level ya Messi kamwe. Hili Mimi nilishaligundua tokea 2012. Mimi ni shabiki wa man utd lakini niligundua ubora wa Messi toka 2012 nikaacha ujinga
TupoooooArgentina mpo?
Safii 🔥🔥🔥Tupo, uzuri wa Messi yeye Hana shida na records anachotamka timu kwanza ipate ushindi
Yeah Leo ndio kwenye we Jana ilikua ndondo ileSafii 🔥🔥🔥
Jana nilikua mshika mawili nilikua nataka England afungwe huku sitaki Mbappe afiki zile bao 10
Kiufupi ya jana yalikua hayanihusu
Leo ndio penyewe🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥Tupooooo
Infantino ndio alifanya Ronaldo asiwafunge congo? Akamzuia Ronaldo pia asishinde mechi na Colombia? Akamzuia pia asiende robo fainali?Miaka hii wewe ulikuwa bado hujaanza kushabikia mpira au ulikuwa tayari ila ni ule upepo wa Messi ulikuwa bado.
Haya ni maisha yake kabla ya Gianni InfantinoView attachment 3632780View attachment 3632781