Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,693
- 130,534
Bado nipo na wewe 😄😄😄
Kataa na hiyo Sasa ya TMZ
Kumbe unachukua post kwenye vijiclip uchwara Ronaldo delima he's such a humble guy hawezi kukataa hivyo in public kwamba hajawahi kusema ,
Haya chukua na clip imepostiwa na TMZ page halafu ipinge na hiyo 😄😄😄😄
Bado nipo na wewe 😄Post in thread '2026 FIFA World Cup - Special Thread' 2026 FIFA World Cup - Special Thread
TupoooMashabiki wa spain wako wapi... hii ndoo mapema tuu iko mabegani
Haya chukua na hii hahaha
View: https://youtu.be/sQfTC1GYvRU?si=PcSTx_2KFl6DM0n8
Tena kwenye hii clip delima anasema kabisa alipofikia Messi anashindwa kusema yupo namba ngapi kati ya pele maradona na Messi mwenyewe
.😄😄😄
Yaani Messi anaweza kuwa hata #1
Weee jamaa Messi ni habari nyingine
So kama delima amecheza mpira Tena kwenye level kubwa ya mafanikio ana ukubali uwezo wa messi nakuona kwamba hata yeye mwenyewe hafikii level za Messi wewe Scars ni nani hasaa mpaka upinge wakati haujawahi kucheza hata league ya mbuzi mpira hauujui
Punguza jealous 😄😄
Issue ni kwamba alisema au hakusema !?Sasa hiyo ni ya lini?
Tuanze kufanya hata comparison ya muda.
Sio kama namkubali huyo FatNaldo ila najaribu kuweka sawa confession aliyoifanya wiki chache zilizopita dhidi ya tuhuma nzito kama hizi.
Mkuu leo uko upande upi au utamshabikia refaPost in thread '2026 FIFA World Cup - Special Thread' 2026 FIFA World Cup - Special Thread
Alisema lini?Issue ni kwamba alisema au hakusema !?
Kwahiyo hao watu wote waliopo studio hapo + romario ni staged!?
Ni kweli, binafsi natamani Messi achukue hii ndoo astaafu kwa heshimaGame ya leo haitabiriki, ni kama ya jana sikutegemea France kupigwa nyingi vile
Haya chukua na hii hahaha
View: https://youtu.be/sQfTC1GYvRU?si=PcSTx_2KFl6DM0n8
Tena kwenye hii clip delima anasema kabisa alipofikia Messi anashindwa kusema yupo namba ngapi kati ya pele maradona na Messi mwenyewe
.😄😄😄
Yaani Messi anaweza kuwa hata #1
Weee jamaa Messi ni habari nyingine
So kama delima amecheza mpira Tena kwenye level kubwa ya mafanikio ana ukubali uwezo wa messi nakuona kwamba hata yeye mwenyewe hafikii level za Messi wewe Scars ni nani hasaa mpaka upinge wakati haujawahi kucheza hata league ya mbuzi mpira hauujui
Punguza jealous 😄😄
Ambao hauna corruption na robberyMkuu leo uko upande upi au utamshabikia refa
Me Ni ronaldo fan, lakini kwa aliyoyafanya messi mpaka sasa anastahili heshima kubwa. Battle yake na cristiano ameimaliza kikatili sanaNatangaza mapema mimi ni team Messi, mimi ni Argentina mwanzo mwisho... Sina timu mbili.
So hiyo video clip aliyo chukuliwa na TMZ wakati anatokea hotel pia ilikuwa ni agenda ya TMZ ili kumfanyia Messi Pr apate kuonekana kwamba anakubalika na malegend wengi kuliko Ronaldo!?Alisema lini?
Ishu ya kujua muda aliosema nayo ni muhimu.
Kwasababu tumeona hata Kevin Prince miezi michache kabla ya World Cup akisema aliwahi kulazimika kukubali Messi ni bora kuliko Ronaldo ili aweze kucheza Barcelona.
Nachotaka wewe ujue ni kwamba, kukubali kwake au madai yake yeyote hayawezi kubadilisha reputation ambayo Ronaldo anayo.
Mashabiki wa Messi mwaka 2016 walisema Messi ni GOAT na wala hahitaji kubeba kombe la dunia kuthibitisha hilo.
Wakaenda mbali na kusema hata Ronaldo akichukua kombe la dunia bado haitamuondolea sifa ya GOAT.
Hii ndio mentality ambayo mlikuwa nayo na ambayo hata sisi tumekuwa nayo.
Kwa hiyo unaponiletea maoni ya Delima sio kama yanaenda kuongeza chochote kwenye msimamo wako au wangu ila pale ambapo naona kuna upotoshaji au miss quote lazima niweke sawa hata kama ukweli huo hauendi kubadilisha chochote.
Ronaldo Delima wiki tatu zilizopita alikuja kukanusha hayo madai ambayo wewe saizi unamuhusisha nayo.
Alisema hakuwahi kumtaja Messi kama GOAT wala kumtaja kama ni bora kuliko Ronaldo.
Bali ni ajenda za waandishi wa gazeti Depotivo ambao walikuwa wanazifanya ili kumpa mileage Messi aonekane kukubalika na malegend wengi dhidi ya Ronaldo.
Watu wakiwa studio sio big deal.Issue ni kwamba alisema au hakusema !?
Kwahiyo hao watu wote waliopo studio hapo + romario ni staged!?
Uzuri wa hii clip niliiweka mapema humu na haikuwa katika mabishano ambayo kama haya ambayo ungeweza kusema niliitumia kama sehemu ya kupinga baadhi ya tuhuma.So hiyo video clip aliyo chukuliwa na TMZ wakati anatokea hotel pia ilikuwa ni agenda ya TMZ ili kumfanyia Messi Pr apate kuonekana kwamba anakubalika na malegend wengi kuliko Ronaldo!?
Hiyo video clip uliyopost wewe still inaacha maswali sana isije kuwa mmechezesha AI 😄😄
DELIMA yupo so humble Tena sana hawezi kuongea huo ujinga
Kuna video Moja yupo na speed aliulizwa swali kuhusu Messi na cr7 nani zaidi
Akajibu kwamba ana wapenda wote so delima ni muungwana sana acheni kumlisha maneno aisee team Ronaldo mnashida Gani nyie 😄
Nikweli sisi tuna utambua ukubwa wa Messi kitambo sana sio kwaajili ya WC tu ,
Kinacho tufanya tuzidi kuwa na furaha baada ya kushinda WC ni kwasababu mlikuwa mmetengeneza conspiracy theory kwamba Messi soo GOAT Kisa Hana WC Wala kombe lolote kubwa la kimataifa
Dunia sio ya athumani Wala sio ya Scars ghafla meza ika turn upside and down jamaa Akaanza kushinda vikombe vikubwa vyote vya kimataifa.. suddenly nyie hao hao now mnasema CR7 ni goat hata kama Hana WC wakati zamani mlikuwa mnasema Messi hawezi kuwa GOAT kwasababu Hajaisadia team yake kubeba kombe kubwa la kimataifa what an insanity