Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,857
- 141,308
Wee Cookie kalale…..game ishaisha hii 😂Bonge la goli
Wee Cookie kalale…..game ishaisha hii 😂Bonge la goli
Hapana. Ni kwa sababu USA ni wazuri safari hii.Hii kasi ya Marekani ni kwa ajili ya udhaifu wa Paraguay au?
Wanafika sana aisee
Paraguay lazima watarudi kivingine second half, hamtaaminiWee Cookie kalale…..game ishaisha hii 😂
Wapo vizuri. Wachezaji wao wengi wanakipiga Ulaya.Hapana. Ni kwa sababu USA ni wazuri safari hii.
wanachezewa nusu uwanja.Paraguay wanateseka sana.
Kweli!Wapo vizuri. Wachezaji wao wengi wanakipiga Ulaya.
Daah, aisee sio Kidogo. Nimeangalia kuanzia Defence yao, Midfielders ambayo ndio wachambuzi walikuwa na wasiwasi nayo...huyu sijui Mackenzie na Pulisic ni hatari na nusu....Forward lines nayo ina kasi ya umeme...Hapana. Ni kwa sababu USA ni wazuri safari hii.
Acheni kulinganisha Ushuzi na PerfumeKweli!
Kiwango cha mpira wa miguu Marekani kimekua sana.
Hii ni mara ya pili wana host kombe la dunia.
Linganisha Taifa Stars na hawa Wamarekani….😂.
Hata kulinganisha tu ni aibu.
Hii kasi ya USA plus Control na Dribling sio ya kawaidaHalf Time
USA 3 - Paraguay
😂Acheni kulinganisha Ushuzi na Perfume
Sikutegemea USA kua ivi kipindi cha kwanzaHii kasi ya USA plus Control na Dribling sio ya kawaida