2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Screenshot_20260715_212834_Instagram.jpg
 
Bado unazidi kuwa slow zaidi, hizo timu vibonde kama wangezifunga goli nyingi wangeongoza kundi. Sijahesabia Colombia sababu Colombia sio kibonde na alipata draw, hivyo Portugal walipaswa kupiga nyingi hao congo na Uzbekistan

Kulikua na ugumu gani Portugal kupiga congo goli hata 3 au 4?
Nyingi ngapi?

Cape Verde wamewapeleka Extra time, mlishindwa kuwapiga nyingi kwenye 90?

Sasa kaangalie kati ya Cape Verde na Congo nani yupo on top
 
Back
Top Bottom