Analitaka sana hili kombe, mfano ukitajirika huwezi kuacha kazi zaidi utazidi kupambana ufanikiwe zaidi.Uzuri walishachukua tayari hivyo matokeo yoyote kwa Messi ni sawa tu
Aminaaa
Namm naliona hili duh....England anaenda kubeba hii ndo kwa mara ya pili
Kombe la Spain.England anaenda kubeba hii ndo kwa mara ya pili
Argentina wamezoea vurugu
Hamna vurugu. Pressure tu. Baada ya dk 15 hali itatulia, na tutaanza kuona kandanda.Argentina wamezoea vurugu
Nyingi ngapi?Bado unazidi kuwa slow zaidi, hizo timu vibonde kama wangezifunga goli nyingi wangeongoza kundi. Sijahesabia Colombia sababu Colombia sio kibonde na alipata draw, hivyo Portugal walipaswa kupiga nyingi hao congo na Uzbekistan
Kulikua na ugumu gani Portugal kupiga congo goli hata 3 au 4?