2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Leta kwanza matokeo ya Ureno na Congo .. halafu twende mbele tena.
1-1

Shida ni nini?

Shida sio game ya Congo, shida ni kwamba kundi lilikuwa gumu kwasababu kulikuwa na timu 2 kubwa nitajie kwenye kundi lenu la Kikoba ni timu gani ilikuwa kubwa?
 
😂😂😂😂Mwamba anaenda kuchukua Baron dor ya 9 nyie mmezubaa tu

1000055957.jpg
 
1-1

Shida ni nini?

Shida sio game ya Congo, shida ni kwamba kundi lilikuwa gumu kwasababu kulikuwa na timu 2 kubwa nitajie kwenye kundi lenu la Kikoba ni timu gani ilikuwa kubwa?
KWenye kundi zinapita timu ngapi?
Sasa ugumu uko wapi hapo?? Haya wewe na Colombia timu ipi ilikuwa inastahili zaid nafasi ya kwanza??
Mmeshindwa kuipata nafasi ya kwanza kwa uzuzu wa Ronaldo ila pro Ronaldo mnalificha hili.
 
Umewaza vizuri, ila haukutakiwa kuishia hapo. Umesahau kulikuwa na Colombia ofsa?

Sasa hata hizo mechi tungeshinda bado tungeishia kuwa na point 7 ambazo ni sawa na Colombia na hii ndio ilikuwa inaonyesha jinsi gani kundi hili lilikuwa na ushindani.
Bado unazidi kuwa slow zaidi, hizo timu vibonde kama wangezifunga goli nyingi wangeongoza kundi. Sijahesabia Colombia sababu Colombia sio kibonde na alipata draw, hivyo Portugal walipaswa kupiga nyingi hao congo na Uzbekistan

Kulikua na ugumu gani Portugal kupiga congo goli hata 3 au 4?
 
Jamaa anatumia hoja dhaifu sana..

Ingekuwa ni hivyo hata PELE asingetajwa kwenye record za dunia.
Sababu hajacheza top leagues.

Ujue analazimisha kuhalalisha MeSsi anakuwa anabebwa na FIFA.
Swali jepesi Kikosi cha Portugal ukilinganisha na Argentina timu ipi imara zaidi?
Anaitafuta furaha kwa njia ngumu sana😃

Portugal shinda mechi zako chukua kombe. Mbona Spain kashinda zake na yupo fainali
 
KWenye kundi zinapita timu ngapi?
Sasa ugumu uko wapi hapo?? Haya wewe na Colombia timu ipi ilikuwa inastahili zaid nafasi ya kwanza??
Mmeshindwa kuipata nafasi ya kwanza kwa uzuzu wa Ronaldo ila pro Ronaldo mnalificha hili.
Portugal ana rank ya juu kisoka kuliko Colombia, hivyo tuliamoni Portugal ataongoza kundi. Sababu zingine zozote ni ujinga
 
Hii mechi inamuhitaji pia Nico Pazz na Barco. Ila ngoja tuone. Leo sina stress yoyote sawa ila akija messi itakua vizuri
G.Simeone ni mtu sana na ana pafu za mbwa hachoki, tulimuhitaji sana huyu mtu pale kati kuliko kina De Paul.

L. Messi atakuwa kwenye version moja hatari sana, tusubiri wakati tushuhudie miracle from him.🐐👑

#Hallelujah!!!
 
G.Simeone ni mtu sana na ana pafu za mbwa hachoki, tulimuhitaji sana huyu mtu pale kati kuliko kina De Paul.

L. Messi atakuwa kwenye version moja hatari sana, tusubiri wakati tushuhudie miracle from him.🐐👑

#Hallelujah!!!
Uzuri walishachukua tayari hivyo matokeo yoyote kwa Messi ni sawa tu
 
Portugal ana rank ya juu kisoka kuliko Colombia, hivyo tuliamoni Portugal ataongoza kundi. Sababu zingine zozote ni ujinga
Washabiki wa Ronaldo mahaba yanawatesa sana , siku si nyingi watakuambia pia 2022 Argentina ilibebwa. Ndio maana nilimuuliza alitaka argentina ipangiwa watu gani??
Maan 2022 Baada ya kupita hatua ya makundi ikawa
1. 16 vs Australia
2. robo vs uholanzi
3. Nusu vs Croatia
4. Final vs France

Haya anataka tupewe timu zipi aamini tena maana hizo 2022 zote zilielekezwa kibla.
 
Washabiki wa Ronaldo mahaba yanawatesa sana , siku si nyingi watakuambia pia 2022 Argentina ilibebwa. Ndio maana nilimuuliza alitaka argentina ipangiwa watu gani??
Maan 2022 Baada ya kupita hatua ya makundi ikawa
1. 16 vs Australia
2. robo vs uholanzi
3. Nusu vs Croatia
4. Final vs France

Haya anataka tupewe timu zipi aamini tena maana hizo 2022 zote zilielekezwa kibla.
Wana uoga sana, hawajiamini😆
 
Back
Top Bottom