Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,692
- 130,526
1-1Leta kwanza matokeo ya Ureno na Congo .. halafu twende mbele tena.
Shida ni nini?
Shida sio game ya Congo, shida ni kwamba kundi lilikuwa gumu kwasababu kulikuwa na timu 2 kubwa nitajie kwenye kundi lenu la Kikoba ni timu gani ilikuwa kubwa?