2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Baada ya mechi kuisha kama Spain atafungwa wachezaji watalia uwanjani kisha wanaenda changing room. Kila kitu kinaishia hapo wanarudi makwao wanalipwa posho zao vizuri na wanaendelea maisha kama kawaida. Mimi hapa nabaki na maumivu balàaa wiki nzima nabaki narushiana maneno na Scars. Wakati huo wachezaji waliotolewa wapo vacation wanakula bata wala hawawazi.
Sasa kwanini niteseke kisa wametolewa.... Fvuck them, wafungwe wasifungwe non of my business. They don't know me, Thay don't give a shit about me.

Yo!, Just me working on Defense Mechanism 🫣🫣🫣🫣
View attachment 3629200
Aiseeee
Kumbe mko serious sana na timu za nchi nyingine kiasi hicho
 
Naona mshaanza kuleta midomo kama kawaida yenu.

Ngoja mechi iishe
FB_IMG_1784030819578.jpg
 
Back
Top Bottom