binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,141
- 40,845
Dah pole kamamaa, dawa ya jino wanasema kuliondoa tu.Yaani jino limenilazimu kuamka aisee🙌🙌
Miaka ya nyuma kuna uzi humu mwamba mmoja aliupandisha jinsi jino lilivomlaza uvunguni, uzi unachekesha sana japo sio jambo la kucheka 😅
Mi nimeamka sababu nasafiri na SGR ya kwanza .