Unasema fifa inahusishwa alafu hapo hapo FBI wao hawajaihusisha. Inahusishwa na nani? Uchunguzi wa awali wa FBI si lazima ungeihusisha fifa sababu walifanya hayo malipo?
Unasema kinachompa title huyo Molina ni uchunguzi wa unyanyasaji wa kijinsia? Nimekuuliza hapo huyo Molina ni nani?
Sababu ya kuuliwa hivi ni kwa kuwa haya yote hakuna jipya, hii issue ya sex abuse ni ya tokea 2022, iweje wewe Leo useme inampa title huyo Molina?
Hii issue ya sex abuse Mbona imeandikwa sana wakati huo, media zimepiga sana kelele kuhusu hii issue, nyie mnaijua Leo?
View attachment 3627371