Nakukumbusha tuu, game ya Nigeria na South Africa. Nigeria walifunga goal lakini likaja kukatawaliwa baada ya kuonekana kuna faul alifanyiwa mchezaji wa South ndani ya 18. so Goal lao likafutwa na South wakapewa Tuta.Huwezi ku rule out kuwa kulikuwa na foul kwenye build up kuelekea goli la 3 La team fifa, wanabebwa sana hiyo ipo wazi
Penalty hazina mwenyeweNilitamani Colombia wafuzu robo.
Basi tena ila Argentina penalty kipa wao Dibu anawabeba nimeshuhudia mara nne, mara moja akiwa Arsenal na mara tatu akiwa Argentina na mara nyingi alicheza mbili.Penalty hazina mwenyewe
We mwenyewe mechi si umeiona Colombia alivyo dominate,maana tokea makundi walidominate mwanzo mwisho. Sema ndio Penalty hazina Gurantee sizani kama Switzerland kama atampa mechi ngumu Argentina.Asillimia kubwa ya wadau walikua washajipangia Argentina atakutana na Colombia as if Swiss ni kama watatolewa kirahisi ๐
Mpaka sasa, Messi amepiga penati 145, kapata 113 na kukosa 34, sawa na 77.9%.Messi ana mabao 672 Barcelona, na mabao 122 Argentina yote alibebwa...?
Ronaldo ana mabao 186 ya penalty..
Messi ana mabao 116 ya penalty...
Sasa jitafakari nani alibebwa zaidi..
Vipi, uko tayari kuweka dau?NUSU FAINAL WATAPITA:
MOROCCO
ENGLAND
ARGENTINA
BELGIUM.
KOMBE ATABEBA ENGLAND KWAKUMTOA BELGIUM.
Kama naota Vile.
Tena ndoto ya jinamizi๐...Kama naota Vile.
Yani lukaku amfunge spain vp kuhusu morocco kumtoa FranceVipi, uko tayari kuweka dau?
HAha hata Messi nae ni mblackBlack mwingine kazingua kwenye penalty ๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Morocco hamtoi FranceNUSU FAINAL WATAPITA:
MOROCCO
ENGLAND
ARGENTINA
BELGIUM.
KOMBE ATABEBA ENGLAND KWAKUMTOA BELGIUM.
Kama naota Vile.
Messi ana mabao 672 Barcelona, na mabao 122 Argentina yote alibebwa...?
Ronaldo ana mabao 186 ya penalty..
Messi ana mabao 116 ya penalty...
Sasa jitafakari nani alibebwa zaidi..