Rwiziringa Tactics
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 859
- 1,776
Semedo kmmmk usituharibie Harage letu
Argentina tunapiga back to backPortugal na Spain wanacheza kwa kujiogopa utadhani hawajui. France nao mechi iliyopita utadhani hawajui. Timu kubwa zinazocheza full mkoko kama Ujerumani huwa zinaondolewa kwa ghafla.
Argentina tu ndio naona hawachezi hivi, na mechi zao zinakuwa sensational na zenye magoli. Ngoja tuwaone kesho.
Nuno mendez kaacha pengo
Vinginevyo naona tukienda kwenye matutaAtakaekula kimoja hakichomoki
Kwan kama serious injury?Ila Mendez aliyumia nguvu kubwa na nyingi. Imemgharimu.
Hili pigo kwao ureno
Baada ya kutoka ndio dogo anatembea, ngoja uone semedo ashamshindwaHamna cha pengo, kitu gani cha maana amefanya ana bahati angevunjwa kiuno na mtoto wa Morocco 🇲🇦
KabisaSpain malizeni hii game, nikalale.
Tulia ww😂😂 Ronaldo anafanya nin? Na hawamtoi
Nimecheka sana 😃Chukueni cashout mtanikumbuka View attachment 3623967