Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,877
- 141,472
England wana wakati mgumu sana leo maana akina amigo pale Azteca ni balaa.
England wana wakati mgumu sana leo maana akina amigo pale Azteca ni balaa.
Wafungwe waje kulia lia
Kila mtu ajitetee anavyoweza..England wana wakati mgumu sana leo maana akina amigo pale Azteca ni balaa.
Hawa nae hamna kitu , morroco angepewa Hawa quarter final angejipigia tu vizurii, basi tu wameamua kumpa mfupa mgumu ufaransa
Brasil ya 94, 98, na 02 ilikuwa ni hatari.![]()
2002. Fainali za kombe la dunia. Nchini Japan.
Huyu kipa Oliver Kahn, kipa wa ujerumani.
Jamaa alipigwa 2 na Ronaldo, Huyu ndiye kipa wa kwanza katika historia ya michuano ya kombe la dunia kushinda tuzo ya uchezaji bora mwaka huo 2002.
Brazil kipindi hiko ilikuwa ya moto sana. Ilikuwa si rahisi kumfunga huyu jamaa. Katika match 6 kabla ya hio fainali Oliver kahn alifungwa bao moja pekee.
Kila nabii na Zama zakeBrasil ya 94, 98, na 02 ilikuwa ni hatari.
Sasahivi hamna kitu pale, vimebaki vitoto visivyo na uwezo...nafikiri akina Rivaldo, Ronaldo na Cafu kule juu wanaumia sana...sidhani kama wataangalia tena game za WC zilizobakiBrasil ya 94, 98, na 02 ilikuwa ni hatari.
Mashabiki wa Mexico ndio wameanza uchokozi lakiniNaona mechi imesogezwa mbele.
Mashabiki wa Uingereza wanakuwaga na vurugu sana mpaka kufikia hatua kupigana na mashabiki wa timu nyingine. Leo wamekutana na wahuni wa Mexico, ngojea tuwaone maana kuna mechi kama sikosei Euro walitolewa na Crotia, waliwapiga sana mashabiki wa Crotia leo wamekutana na wahuni,ngojea tuwaone je wakitolewa leo watafanya vurugu.
Sijakataa ila hata wao ni wakorofi sana.Mashabiki wa Mexico ndio wameanza uchokozi lakini
Wamewasumbua sana Wachezaji wa England kwa kelele hotelini kiasi washindwe kulala