2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

So far ndio mfungaji mzuri sasa.
Mbape na Messi kila mmoja anagoli la tuta hapo
2010 kwenye WC ya bondeni pale

Thomas Muller, Diego Forlan, David Villa na Wesley Sneijder wote walifunga goli 5 ila guess what nani alipewa tuzo ya mfungaji bora?

Thomas Muller alichaguliwa mfungaji bora wa mashindano kwakuwa alikuwa na assist 3 kushinda wenzake
 
2010 kwenye WC ya bondeni pale

Thomas Muller, Diego Forlan, David Villa na Wesley Sneijder wote walifunga goli 5 ila guess what nani alipewa tuzo ya mfungaji bora?

Thomas Muller alichaguliwa mfungaji bora wa mashindano kwakuwa alikuwa na assist 3 kushinda wenzake
Yeah huku wanaangalia sana assists
 
Back
Top Bottom