Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Ht ye hana muda mrefu snSema Messi ni Messi tu yaani zama za madogo janja kina mbappe na halland lakini yeye Bado yupo tu!! Bado tu anakimbizana nao pamoja na yote aliyoyafanya kwenye mpira.
Wawatengeneze kina messi wengine
Si unaona kilichotokea Brazil leo