2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Neymar namchukulia ni mmoja wa wachezaji wasiokua na bahati kabisa , namkumbuka Neymar wa mwaka 2014 huko kuna game Brazil alicheza na Spain intercontinental sijui Ile.
Acha alie tu maana ndio world cup ya mwisho hio na hakuna amefanya majeruhi mengi
Lakini mbali na Haaland kutumia nafasi vizuri ila pia kipa wa Norway leo kafanya kazi kubwa sana.
 
hii inawachoma sana mashabiki wa messi,
walijiamulia kila kitu wenyewe
IMG_0766.jpeg
 
Back
Top Bottom