2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

😂😂😂 yaani shule hazina madawati ila unataka ziwe na viwanja vya michezo hizi si ndoto kabisa.
Kuhusu vipaji , vipi vingi sana tu sema ndo ivo fursa hazipo na kama zipo basi rushwa au maelekezo yanakua mengi , kuna washikaji huko mashule tumesoma nao na walikua wanapiga ball vibaya sana saivi utakuta ni mafundi simu au waalimu wengine wachungaji😄.
Africa inafurahisha sana yaani mtu aliyepaswa kuwa labda mwalimu saivi ni fundi ujenzi na fundi ujenzi utakuta ni mwalimu😄
Ata ulaya vipaji vipo lakini wanatipita kuwa wana infrastruture ya kuendeleza hivyo vipaji.
Kukosa madawa sii ungese wetu wenye wakujitakia
 
Ata ulaya vipaji vipo lakini wanatipita kuwa wana infrastruture ya kuendeleza hivyo vipaji.
Kukosa madawa sii ungese wetu wenye wakujitakia
Sema vipaji vingi Africa vimeuliwa kutokana na tu mtu kazaliwa bara la giza.
Kuna madogo Huwa nawaza wangezaliwa ulaya huko kwenye ma academy na resources za kutosha sijui ingekuaje maana walikua wanapiga ball haswa .
Africa bara la giza !!
 
Back
Top Bottom