Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 8,292
- 14,678
AshatoboaBado dakika chache aguse robo kwa mara ya 2 mfululizo
AshatoboaBado dakika chache aguse robo kwa mara ya 2 mfululizo
Bora yule kuliko walichokua wanakifanya wakongo 😂😂 na ile siku ya senegal vs France ...Na hakuna wanachokifanya huko zaidi ya kutembezewa knuckles tu.
Yaani Morocco akipata goli, sio kama yale mengine. Yeye anajua kudeal na mpinzani ili mtaji wake usipotee..
Sasa wale ndugu zetu, hasa yule aliyeongoza mbili zikarudi zote ndio takataka kabisa kashindwa kumaliza dakika 10 tu za mwisho
Drake atawapa liftWaende kwao kwa miguu