2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wanakaba mpaka kivuli😂😂😂
DIma Maghreb
Watu weusi wenye chuki binafsi sura zao sijui wanaziweka wapi...
Na hakuna wanachokifanya huko zaidi ya kutembezewa knuckles tu.

Yaani Morocco akipata goli, sio kama yale mengine. Yeye anajua kudeal na mpinzani ili mtaji wake usipotee..

Sasa wale ndugu zetu, hasa yule aliyeongoza mbili zikarudi zote ndio takataka kabisa kashindwa kumaliza dakika 10 tu za mwisho
 
Angalia kwenye sikio la mkono wa kushoto,ni camera ndogo sana.
Kwa hisani ya kampuno ya lenovo wamezitengeneza na kumwaga mapesa kuzitangaza kwa ajili ya matumizi ya kutengeneza maudhui hasa wale wanaofanya live stream za kutembea

Tena wameifungia video capture yenye wifi transmitor kwa ajili ya kurusha picha na sauti kwa mfumo wa 4k
 
Back
Top Bottom