Kwa mujibu wa jibu lako,Mkuu ukishazaliwa Africa na ukaishi/ukajichanganya kwenye jamii za kiafrika kuna kiasi flani cha kujiamini na IQ kinapotea...
Yaliyotokea kombe la dunia si bahati mbaya.
Aaah wapi🤣Naona ashafika robo fainali
Kama una mtoto ana kipaji cha kandanda n.k peleka nje huko kama uwezo upo, ama kama kuna ndugu zake.. atatoboa vizuri sana huko sio humu kwa waswahili...View attachment 3622606
Mkuu hata Ufaransa ni ngozi nyeusi huwaoni wanavyo kiwasha!!
Na kwa kifupi kwenye fainali za mwaka huu nchi nyingi zimeongea idadi ya watu weusi kwenye vikosi vyao.
Hata zile nchi zilizosifika kwa ubaguzi wamelazimika kuongeza idadi ya watu weusi ili kupata matokeo.
Kama atatoboa huko nje bila kubadili rangi ya ngozi yake,Kama una mtoto ana kipaji cha kandanda n.k peleka nje huko kama uwezo upo, ama kama kuna ndugu zake.. atatoboa vizuri sana huko sio humu kwa waswahili...
Mimi nilisema Canada wataacha mchezo wao watapanic kushambulia Hilo ndio kosa Morocco wako vizuri kwenye kufanya Counter na transition kwa umakini mkubwaHili ndio Soka sasa.
Mbona umebadili avatar na weweDduuh chupchup la 3
Tatizo sio ngozi mkuu...Kwa mujibu wa jibu lako,
So,tatizo sio skin color.
Tatizo letu lipo mwenye management na hasa desturi zetu za kuonea aibu uchafu unaofanywa na watu wenye majina.Kama una mtoto ana kipaji cha kandanda n.k peleka nje huko kama uwezo upo, ama kama kuna ndugu zake.. atatoboa vizuri sana huko sio humu kwa waswahili...
Nimekuelewa...Kama atatoboa huko nje bila kubadili rangi ya ngozi yake,
Basi tatizo sio kua na ngozi nyeusi,
Labda uwe hujaielewa hoja yako.