Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 7,195
- 21,270
Ndio amepata majerahaMajeruhi au maana ndio nataka niwashe TBC now ?
Ndio amepata majerahaMajeruhi au maana ndio nataka niwashe TBC now ?
Huyu hua anatupanga sijuiDrake leo kaiua Canada ambayo ni nchi yake.
Wala.Huyu hua anatupanga sijui
Canada wanajua boli nashangaa watu wengi wali wa Wa underestimated kuona Morocco ana gemu nyepesiMbona hawa Morocco wamekuwa watepetevu!?
michezo ya wahuniMbona hawa Morocco wamekuwa watepetevu!?
Style yao ya ukabaji ya kipekee mno hawaachi space hovyo na hawakuruhusu uchezee mpira kwaoCanada wanakabia mbele mchezo huu anauweza psg pekeake
Mara nyingi analiwa tuWala.
Jamaa ana hela na ni mkamaria sugu tangu kitambo.
Anti Arab utafurahi leoMbona kama 😂😂😂 NITAFURAHI sana
Anasomga kwasababu ya 1M yako?Canada anasonga FT.
Nimempa Canada +1 nimeweka mil 1
Pia inaweza kupigwa Bomba na wakajifunga vile vileItategemeana na momentum ya mechi itavyokuwa.
Kama Morroco itaendelea kuruhusu mpira kuchezwa kwenye eneo lake yani wao kazi yao ni kuzuia kama sasa basi kuna uwezekano wa Morroco kufungwa.
Kwasababu hatari nyingine ya idadi kubwa ya wachezaji kuzuia katika eneo lao mara nyingi ni rahisi kucheza faulo, na faulo kwenye eneo la box ni penalty.
Wachezaji wa Canada wanaweza kutumia hiyo advantage ya kujilegeza kwa hiyo mguso wowote dhidi ya mchezaji wa Canada unaweza kuwa ni risk kwa Morroco
Yaniii nilikua bize hata sijatulia kuangalia..Kaa mkao wa kufurahia Matokeo safi na mpira mzuri kutoka Morocco
Akiliwa haiwi pigo.Mara nyingi analiwa tu
Jamaaa wameewbana kiutamu...piga pini fullback zao zotemipira ya kugombania yote wanapata waoMoreoco wananipa wasiwasi.