uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 18,388
- 30,654
- Thread starter
- #10,961
Kabisa mkuu.Mkuu labda kama ni mgeni kwenye mashindano kama haya, Senegal 2002 alimfanyaje bingwa mtetezi Ufaransa ya Zidane na wenzake
2014 New zealand alifuzu mbele ya Italy na England
Ndio maana tunapenda soka, sio mchezo rahisi kutabirika
Nakumbuka vizuri hali ilivyokuwa.