2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Huyu Alvarez afanye namna aende timu bora yenye mpira mzuri aokoe kiwango chake, hii tikotiko naona inampoteza amekuwa kama shiboli.


#Hallelujah!!!
Barca,PSG na Arsenal wanamtaka japo yeye inasemekana Chaguo lake ni Barca, ila mimi napenda aende PSG.
 
Sema goli la kwanza la Messi sio halali
Rudia kuangalia vizuri, lile ni goal, Messi alicheza na akili za mabeki. Kabla mpira haujapigwa kuja kwake alikuwa offside. Alipo ona kuna uwezekano wa kuletewa pasi alirudi ndani kuua offside, akapokea mpira akiwa on side
 
Kabisa mkuu.
Nakumbuka vizuri hali ilivyokuwa.
Sasa mbona unaongea kama mnazi wa Simba au Yanga? Maana hao wako katika dunia yao, wanaamini wanastahili kushinda kila mechi.

Ugiriki alibeba taji la Euro 2004 akiwa hapewi nafasi kabisa na akabutua Ureno aliyekuwa mwenyeji mechi ya kwanza ya ufunguzi na ile ya FAINAL

Timu ikishafuzu kwenye mashindano sio ya kuipuuza hata kama daraja lao liko chini.
 
Back
Top Bottom