T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,779
- 46,585
Bonge la mechi.
Ooh Verde watoto..ona jinsi wamefanya😀😀Mamaeh…mechi dume kabisaa
Tupo raundi ya 16 bora
Bonge la mechiiiiiTumeona mpira lakini
Ubingwa hauji kirahisi mkuu, tutakuja imara zaidi mechi ijayoIla moto mmeupata bana
Mkuu match roho mkononi..😀😀Bonge la mechi.
Babu hana muda na mtuSema goli la kwanza la Messi sio halali
Mkuu labda kama ni mgeni kwenye mashindano kama haya, Senegal 2002 alimfanyaje bingwa mtetezi Ufaransa ya Zidane na wenzakeImagine timu ya mara ya kwanza vs bingwa mtetezi...
Mtazamo wako unaheshimiwa.Ila kwa mchezo kama huu kuvuka robo nyie ni ngumu sana
cape verde nawapenda ila kitendo cha mashabik wa penaldo kuingilia ctak tena vozinha🫡🫡 kaheshimisha Africa next Tanzania 2030Tumeona mpira lakini