2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mkuu wewe ni chizi na sio pekee yako bali na mashabiki wote wa Real Madrid. Huko juu umesema messi anajifanya humble wakati sio so hamumpendi kwa hilo Yamal yeye sio humble anakupokea kadri ya ulivyokuja na yeye pia hamumpendi.

Messi hamumpendi kwakua ni mkimha eti anajifanya humble
Yamal hamumpendi kisa anamdomo sana sio humble. Sasa tuwaelewe vipi???
Incident ya Messi kuanzia benchi ilipewa tafsiri ya u-hamble na mashabiki wa Barcelona sio kama aliongea yeye.

Lamine sio muongeaji, ni mlopokaji kwasababu anaongea shombo
 
🤣 leo niko na Austria...
Tuko pamoja
1783017792777.png
 
Back
Top Bottom