Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,530
- 61,938
🏴 Two assists for Anthony Gordon, another key player for England comeback.
Algeria na Ghana tuwaamini tu
Nadhani uran amefunga mjadalaWote unaoona wamezaliwa au kukulia kule wanacheza timu za Afrika ujue hawana namba timu za Ulaya.
Saka anaanza kikosi cha kwanza, yuko kwenye timu yenye spirit. Mbappe anaanza kikosi cha kwanza timu inayokuwa top 5 ranks za FIFA angekubali Cameroon ambayo hata kufuzu haiwezi?
Wakishaokota wazungu, wale wanaobaki hati hati ndio tubebe sasa maana wakija huku yakachanganyika na pure wamatumbi tiyari timu inachangamka.
Mbona wazungu wanachuja wanachukua weusi wanaojua, wanapiga chini wazungu wao wasiojua kwenye kikosi? Sisi tunashindwa nini. Hata bongo hapa imagine wakimbizi tunawalea sisi pale Kigoma ila wanaenda kucheza timu za Ulaya. Ilitakiwa tuwaibe, wewe lini Taifa itafika AFCON kwa hawa kina Shomari Kapombe na Himid Mao?
UmemalizaHao tayari sio raia.
Sisi hatukubali Dual citizenship.
Ukishafikisha miaka 18 unakuwa hutambuliki tena
Ngojea tuone, ila Belgium hawatishi.Unaanza tena kuwaamini wamatumbi? Africa timu ni Morocco tu hao wengine wote hawapiti hii hatua.
Amin AminMungu ibariki Senegal
Tafadhari kijana kapombe aheshimiwe.Wote unaoona wamezaliwa au kukulia kule wanacheza timu za Afrika ujue hawana namba timu za Ulaya.
Saka anaanza kikosi cha kwanza, yuko kwenye timu yenye spirit. Mbappe anaanza kikosi cha kwanza timu inayokuwa top 5 ranks za FIFA angekubali Cameroon ambayo hata kufuzu haiwezi?
Wakishaokota wazungu, wale wanaobaki hati hati ndio tubebe sasa maana wakija huku yakachanganyika na pure wamatumbi tiyari timu inachangamka.
Mbona wazungu wanachuja wanachukua weusi wanaojua, wanapiga chini wazungu wao wasiojua kwenye kikosi? Sisi tunashindwa nini. Hata bongo hapa imagine wakimbizi tunawalea sisi pale Kigoma ila wanaenda kucheza timu za Ulaya. Ilitakiwa tuwaibe, wewe lini Taifa itafika AFCON kwa hawa kina Shomari Kapombe na Himid Mao?
Mpaka Pacome aponeYanga wanacheza linii hili kombee
Kibu Dennis ndio mfano wa tikitaka tunayotakiwa kuchukua. Mfano waatoto wa Tundu Lissu wawe wachezaji sisi tupite nao juu kwa juu.Umemaliza
Kwa hiyo hoja yake ya wazaliwe huko ulaya halafu wachezee bongo haina mantiki
Huyo kwenye chandimu ya Brazil anakuwa muokota mipira. First 11 ya Taifa Stars kule mitaa ya Brazil mara Argentina wanakuwa makuli wa kupakia mizigo kwenye malori.Tafadhari kijana kapombe aheshimiwe.
Mkuu akiamka vizuri utampenda,ila siku za hivi karibuni ameshukaHivi huyu Jackson wa Senegal siyo tapeli kweli?