2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wote unaoona wamezaliwa au kukulia kule wanacheza timu za Afrika ujue hawana namba timu za Ulaya.

Saka anaanza kikosi cha kwanza, yuko kwenye timu yenye spirit. Mbappe anaanza kikosi cha kwanza timu inayokuwa top 5 ranks za FIFA angekubali Cameroon ambayo hata kufuzu haiwezi?

Wakishaokota wazungu, wale wanaobaki hati hati ndio tubebe sasa maana wakija huku yakachanganyika na pure wamatumbi tiyari timu inachangamka.

Mbona wazungu wanachuja wanachukua weusi wanaojua, wanapiga chini wazungu wao wasiojua kwenye kikosi? Sisi tunashindwa nini. Hata bongo hapa imagine wakimbizi tunawalea sisi pale Kigoma ila wanaenda kucheza timu za Ulaya. Ilitakiwa tuwaibe, wewe lini Taifa itafika AFCON kwa hawa kina Shomari Kapombe na Himid Mao?
Nadhani uran amefunga mjadala
Soma comment yake hapo juu
Unachokisema kwa siasa za Tanzania hakiwezekani
Na mimi kama mzazi hata ingekuwa inawezekana, sitamshauri aje kucheza na wamatumbi
 
Yamal, after realizing there is no Elche and Alaves in the world cup
FB_IMG_1782932201041.jpg
 
Wote unaoona wamezaliwa au kukulia kule wanacheza timu za Afrika ujue hawana namba timu za Ulaya.

Saka anaanza kikosi cha kwanza, yuko kwenye timu yenye spirit. Mbappe anaanza kikosi cha kwanza timu inayokuwa top 5 ranks za FIFA angekubali Cameroon ambayo hata kufuzu haiwezi?

Wakishaokota wazungu, wale wanaobaki hati hati ndio tubebe sasa maana wakija huku yakachanganyika na pure wamatumbi tiyari timu inachangamka.

Mbona wazungu wanachuja wanachukua weusi wanaojua, wanapiga chini wazungu wao wasiojua kwenye kikosi? Sisi tunashindwa nini. Hata bongo hapa imagine wakimbizi tunawalea sisi pale Kigoma ila wanaenda kucheza timu za Ulaya. Ilitakiwa tuwaibe, wewe lini Taifa itafika AFCON kwa hawa kina Shomari Kapombe na Himid Mao?
Tafadhari kijana kapombe aheshimiwe.
 
Umemaliza
Kwa hiyo hoja yake ya wazaliwe huko ulaya halafu wachezee bongo haina mantiki
Kibu Dennis ndio mfano wa tikitaka tunayotakiwa kuchukua. Mfano waatoto wa Tundu Lissu wawe wachezaji sisi tupite nao juu kwa juu.

Marehemu Ruge Mutahaba si kazaliwa, kakulia na kusoma Marekani, alivyorudi aliambiwa sio raia?

Maria Sarungi utasema ni Hungarian na sio Mtanzania?

Inabidi tuwe wezi. Marekani iliiba wanasayansi wa Nazi Germany hata waliokuwa na makosa ya kibinadamu. Walter von Braun mwanzilishi wa NASA alikuwa Mjerumani hata English yake angezidiwa na wanafunzi wa shule ya kata bongo. Huwezi tegemea tu haya makabila 126 sijui Wayao na Wangoni eti uwe na taifa lenye maana yoyote duniani. Hata tushindane kwenye uchawi, uvivu, unafiki, wizi, utapeli bado hatushindi.
 
Back
Top Bottom