Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,387
- 110,091
Hiyo hatua waliyofika kwao wanaona inatosha sanaWaafrika hakuna vilio, hawa weupe mara wanamwaga chozi
Hiyo hatua waliyofika kwao wanaona inatosha sanaWaafrika hakuna vilio, hawa weupe mara wanamwaga chozi
Kwa hiyo weusi wanajivunia kufa kiume ?Winning mindset hawana. Unawaona Morocco wale, wazawa au waliolelewa nchini kwao kwenye kikosi kile ni wangapi?
Weusi wa Ufaransa huwa wanafunga vizuri tu. Ila hawa wa kwetu wana inferiority complex wao mradi wana kagoli kamoja au wamefungwa 2-1, 1-0, 3-2 wao wanaona sawa tu.
Basi hao aliowazidi ni weusi wenzieMbona watu wa hivyo wapo wengi sana tu.
Kama uliangalia series ya The Blacklist utagundua kuna jamaa mle anaitwa Harold Cooper ni mweupe kuliko hata wale wa Asian aliokuwa akifanya nao kazi
View attachment 3620109
Tuko kimya kwasababu tulikuwa bize tunafuatilia performance ya GOAT Messi.Yaani timu za watu weusi zinatufunga midomo sisi mashabiki zake kama Ronaldo anavyofanya
View attachment 3620108
Wako na ufala sana. Hata hawaumizwi na kufeli.Winning mindset hawana. Unawaona Morocco wale, wazawa au waliolelewa nchini kwao kwenye kikosi kile ni wangapi?
Weusi wa Ufaransa huwa wanafunga vizuri tu. Ila hawa wa kwetu wana inferiority complex wao mradi wana kagoli kamoja au wamefungwa 2-1, 1-0, 3-2 wao wanaona sawa tu.
Hapo ni mafanikio kwao tayari,kila mchezaji kisha jijengea jina huko Kijijini kwao kua alishiriki World Cup na picha yake itawekwa kwenye kila sebule ya nyumba hapo kijijini.Waafrika hakuna vilio, hawa weupe mara wanamwaga chozi
Huyu bwana hua namchanganya na Chiwetel Ejiofol, naona wanafanaMbona watu wa hivyo wapo wengi sana tu.
Kama uliangalia series ya The Blacklist utagundua kuna jamaa mle anaitwa Harold Cooper ni mweupe kuliko hata wale wa Asian aliokuwa akifanya nao kazi
View attachment 3620109
Hadi Morroco umewatembezea panga?Sishabikii tena team za Africa,
Unaweza kufa kisha yenyewe yanacheka tu uwanjani.
Nimekubali Mkuu.Africa ni kichwa cha mwendawazimu
Tutumie wafungaji waliozaliwa kwao au kulelewa kule.
Si umeona kilichotokea. Yaani Timu za Afrika zilizo nyingi ushubwada mtupu. 🙃Pole sana kumbe ww shabiki wa amad, nilikua naiona IC ikifika mbali ila daah wachezaji wapumbafu. Natamani Senegal ashinnde ila nitaangalia bila matarajio yoyote kama ilivyo kwenye mechi hii
Kazira. Ha ha haaaHadi Morroco umewatembezea panga?
Unatupoteza wengineKane: That should be a penalty!!!!
Referee: STFU! You are not Messi..View attachment 3620116
Senegal saa tano usiku leo...Congo outtttttttt!
😂😂😂umekunywa nn we mzeeLakini Mbappe ni mweupe sana kuliko hata baadhi ya wazungu.