Hayo makosa unayaona kwasababu wanacheza na Ufaransa.Hawa ata mpira wakugombania wanaporwa sasa hiyo nayo inahitaji kipaji kweli...sii nguvu tuu
FundiiiiIla Oliseee
Itakua tishio sana kwa wale wasio kua na mwelekeo pale laligaImagine tu hvi vitu tuvione vikifanyika Bernabeu
View attachment 3619354
El dictator
Atakuwa galasa tuYani huyu Olise akitua pale Bernabeu huyu aisee ngoja nisimalize maneno
Yeah the dictator one