Absolutely Mkuu, nimetoka kuelezea post mbili za juu yako.Scars kwa majaribio waliyofanya IC kama Amad angeanza 1st half walikuwa na nafasi nzuri ya kutoboa hii match.
Scars kwa majaribio waliyofanya IC kama Amad angeanza 1st half walikuwa na nafasi nzuri ya kutoboa hii match.
Njia ya brazil kwenda nusu fainalNjia ya Brazil kama nyepesi hivi! Hawa Norway wanapigwa na Brazil mapema sanaaaa
Huyu sii yule wa ile timuya miujiza ya uefaPatrick Berg kiungo wa boli anajua sana
Pepe pia kwenye 1V1 imekuwa ikimpa shida sana wakati Diallo hivyo ndio vitu vyake.Amad angeanza walikua na a better chance ya kupata magoli 1st half. Kuna 1-2 Pepe alikua anahitaji anakosa mtu wa kuconnect nae haraka.
Timu za Africa ni utopolo except Morocco tu.
Nilijua tuu hapa lawama kwa nini dialo hakuanza mechi hahahahaBenchi la ufundi la Ivory cost niwapumbavu sanaa.
Kuanzia leo afrika nitashbaikia Morocco tu. Yaani mechi muhimunkama hii mchezaji muhimu ananzia benchi duuh!
View attachment 3619248
Pepe pia kwenye 1V1 imekuwa ikimpa shida sana wakati Diallo hivyo ndio vitu vyake.
Goli alilofunga ni goli gumu sana mtu mwingine pale angehitaji usaidizi atoe pasi.
Hapa kidogo Mexico na England ndo afadhari.Lolote linatokea,naona England wamekamia sanaNjia ya brazil kwenda nusu fainal
Kuna Norway, Mexico,ecuador, congo na england
Sijaona team ya kumzuia brazil
Wasiwasi upo kwa argentina kama brazil atafanikiwa kufika semfinal
Kweli hili halipingiki.Nilijua tuu hapa lawama kwa nini dialo hakuanza mechi hahahaha