2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wenyewe hawataki shobo wala hawataki support ya ngozi nyeusi inayo jiita waafrika. So hizo hopes zenu mzipeleke ghana senegal
🤣🤣🤣 wachache tu ndio wana hope nao.

Japo kabla yakuanza mashindano haya Hakim alizungumza sana juu ya wao kuwa Waafrica.

Hapa tushabikie ball tu.
Hata Uholanzi kuna Waafrika kibao
 
Back
Top Bottom