Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,215
- 30,402
Wenyewe hawataki shobo wala hawataki support ya ngozi nyeusi inayo jiita waafrika. So hizo hopes zenu mzipeleke ghana senegal
Rightfully so. Ushabiki wenu hauwaongezei au kupunguza chochote kile kwao.
So long as wameingia under CAF ni timu ya Africa sijaongelea ushabiki hapa.