Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,657
- 23,134
We si ulitaka tufungwe, hata hio nguvu ya kukupa Pole sinaAngel acha hivo japo nipe pole
We si ulitaka tufungwe, hata hio nguvu ya kukupa Pole sinaAngel acha hivo japo nipe pole
Niliona Fabrizio akim quote Ancelot kuwa "Neymar ameimarika hivyo anastahili kucheza dakika zaidi ya 15"
So nikajia atampa hiyo nafasi acheze.
Hiyo sio ya kukesha ni ya kuamkaHivi Morocco alfajiri ya leo? Wazee wa kukesha!!
Roho mbaya kakufunza nani. Nyie mashabiki wa Ronald mbona mna roho za hivoWe si ulitaka tufungwe, hata hio nguvu ya kukupa Pole sina
Utu uzima dawa.FT
Japan 1
Brazil 2
Nao ni wajinga, hivi kweli walikuwa na ndoto za kuwafunga na kuwaondosha Brazil kwenye hatua hii?Time ya viliooo. Wanyamazisheni wajapan wenu ha ha haaaaa
Alishika nafasi ya pili ikamuharibia ratiba yake akaebda USAHivi Canada nae si alikuwa nae mipira nao walikuwa wameandaa viwanja
Alooh wakuu kamari inakutia uwenda wazimu congrats kwa brasil
Mi sijaona, matukio mengi kwenye hii mechi yamenipita kwasababu ya mkwamo wa internet.Nilijua ataingia, sa pale alikuwa anapasha nn?
Huyu pweza ngoja tuone,game ya Morocco sidhani,hata ya USKuna pweza huku😂
🏆 Round of 32 Score Predictions
🇿🇦 0–1 🇨🇦✅
🇧🇷 2–1 🇯🇵✅
🇩🇪 3–1 🇵🇾
🇳🇱 1–1 🇲🇦
🇨🇮 1–2 🇳🇴
🇫🇷 3–0 🇸🇪
🇲🇽 1–1 🇪🇨
🏴 2–0 🇨🇩
🇧🇪 2–1 🇸🇳
🇺🇸 1–2 🇧🇦
🇪🇸 2–0 🇦🇹
🇵🇹 3–2 🇭🇷
🇨🇭 1–0 🇩🇿
🇦🇺 2–1 🇪🇬
🇦🇷 3–0 🇨🇻
🇨🇴 2–2 🇬🇭