100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,136
- 36,207
Japan kwa sasa watafunguka, wakifunguka ndipo watapigwa 5.
HahaBrazil wana dhambi, wameamua kutumia ufupi wa Wajapan.
Ni cross za Juu juu tu.
Sio utaratibu wao kufunguka. Kumbuka Japan wakiamua mpira wa tukose wote hawaeleweki kama wanapiga counter attack au wanafunguka.Japan kwa sasa watafunguka, wakifunguka ndipo watapigwa 5.
Ngoma dk tisini hii inaishaJapan wamekosea kucheza mchezo wa kujilinda sana. Matokeo yake ndo hayo sasa.
Unaporuhusu timu ikushambulie sana, muda si mrefu watafunga tu goli.
France fupa gumu. Wazee WA kufosiBRAZIL
USA
FRANCE
UINGEREZA
WATOLEWE KABISA
Argentina 💪
Fifa rankings:Timu yangu si Brazil, lakini huo ndio ukweli Japan hatoboi hii match..
Wamefunguka sasa ..Sio utaratibu wao kufunguka. Kumbuka Japan wakiamua mpira wa tukose wote hawaeleweki kama wanapiga counter attack au wanafunguka.