T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,784
- 46,628
Brazil anaweza funga pia. Mpira bado sana.
Huyo ni timu Japan.ZVI ZAMIR mbona unapotosha kauli ya mwenzio🤣🤣🤣
Sio kizembe jamaa walitafutwa sanaGooal la kizembe sana
Na wakamaria walioipa BrazilHakuna watu wanaoona muda una kimbia kwa speed sana kwa sasa kama Wabrazil.