Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,691
- 130,524
Wazee wa Yakuzasio poa, samurai wanapeleka moto atare !
Wazee wa Yakuzasio poa, samurai wanapeleka moto atare !
Tujiandae mara ngapi na wametushindwaHao wengine sijui, lolote liwakute lakini Ufaransa mmmh, siyo kweli.
Argentina wajiandae
Timu yangu si Brazil, lakini huo ndio ukweli Japan hatoboi hii match..Mnajipa hope eee, haya
Hata afanyaje atapigwa tuHiki kipindi cha pili Japan akae chonjo..
Brazil ni chama langu, ila Japan nawakubali kwasababu wako humble.Wakiongeza la pili itakua poa sana
Yule ni kiraka wa Madrid mambo yakikorogeka wanamwita na yeye hajawahi kataa kaziDon Carlo amezeeka hata angefika nusu fainali au fainali yenyewe. Unahisi ni club gani ingeweza kumpa kandarasi tena. Ndio anastaafu hapa hili kombe lina wastaafu wengi.
Kwani mpira umeisha?Muhindi leo anachekelea
Kwani mpira umeisha?Muhindi leo anachekelea
Umri mkuu. Umri.Yule ni kiraka wa Madrid mambo yakikorogeka wanamwita na yeye hajawahi kataa kazi
Yaani usiulize makofi polisi..Hata afanyaje atapigwa tu
Timu yangu ni Brazil, huo ndio ukweli Japan hatoboi hii match..
FIFA inafanya biashara zaidi,wanaangalia anayewaingizia hela zaidi.Sidhani kama FIFA wanaweza kuwa na Fitna za aina hiyo.
Ukipigwa umepigwa tu