2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Sidhani kama FIFA wanaweza kuwa na Fitna za aina hiyo.
Ukipigwa umepigwa tu
Fifa wana timu yao moja tu humu.

Msiihusishe FIFA na timu zingine ambazo haihusiki nayo
FB_IMG_1782666547629.jpg
 
Japan kwa vyovyote lazima wajipange golini, maana Brazil wanashambulia sio poa...
Brazil hawataki kucheza karata ya ET na penalty shoot out

Wanajua hivyo vipengele vinakawaida ya kuwa favor timu nyingi zinazoingia uwanjani kwa kupaki bus.

Kwasababu kwa asilimia kubwa huko mazoezini wanakuwa wana practice upigaji wa penalti na udakaji.
 
Brazil hawataki kucheza karata ya ET na penalty shoot out

Wanajua hivyo vipengele vinakawaida ya kuwa favor timu nyingi zinazoingia uwanjani kwa kupaki bus.

Kwasababu kwa asilimia kubwa huko mazoezini wanakuwa wana practice upigaji wa penalti na udakaji.
sahihi...
Japan anaomba mpira uishe..
Na dakika za 80s wataanza kujichelewesha..
 
Back
Top Bottom