Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,691
- 130,526
Fifa wana timu yao moja tu humu.Sidhani kama FIFA wanaweza kuwa na Fitna za aina hiyo.
Ukipigwa umepigwa tu
Msiihusishe FIFA na timu zingine ambazo haihusiki nayo
Fifa wana timu yao moja tu humu.Sidhani kama FIFA wanaweza kuwa na Fitna za aina hiyo.
Ukipigwa umepigwa tu
sahihi..Fifa rankings:
Brazil #6
Japan #18
Ngoja tusubiri DK 90
Kaondoka akiwa amesawazusha makosa yakeMathias Cunha out Gabriel Mathinel in
Wamefungukaje wakati wakiondoa mpira kwenye 18 wanabutua mbele. Bado hawajafunguka hawa wanacheza watu 10 kwenye 18 yao.Wamefunguka sasa ..
Kuna muda walitaka kufunguka lakini wakarudi kupaki basi, na wakijiroga kufunguka tu watapigwa 5...Wamefungukaje wakati wakiondoa mpira kwenye 18 wanabutua mbele. Bado hawajafunguka hawa wanacheza watu 10 kwenye 18 yao.
Brazil hawataki kucheza karata ya ET na penalty shoot outJapan kwa vyovyote lazima wajipange golini, maana Brazil wanashambulia sio poa...
sahihi...Brazil hawataki kucheza karata ya ET na penalty shoot out
Wanajua hivyo vipengele vinakawaida ya kuwa favor timu nyingi zinazoingia uwanjani kwa kupaki bus.
Kwasababu kwa asilimia kubwa huko mazoezini wanakuwa wana practice upigaji wa penalti na udakaji.
Brazil wameweka utoto pembeniJapan kwa vyovyote lazima wajipange golini, maana Brazil wanashambulia sio poa...
Imekuwa BrazeroDk 77
1-1
Tutaona kupitia hizi sheria mpya kama marefa watawachekeasahihi...
Japan anaomba mpira uishe..
Na dakika za 80s wataanza kujichelewesha..
Hivi Airtel ninunue ODM yao au nibaki na router ya Yas.Ku stream mechi kupitia internet ya Airtel aloo ni mateso.