adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,581
- 7,751
KabisaaColombia tumenyimwa goli
KabisaaColombia tumenyimwa goli
Colombia tumenyimwa goli
Hawa Ureno wanapigwa na timu yoyote hatua ijayoKabisaa
Hiki kitu nimekiona kuna huyo dogo black WA Portugal hapo mwisho kapiga Mpira nje kabisa kujidai anatafuta angle badala ya kumpa pasi mwenzie Halafu anashika mashavu anatabasamuMechi ya colombia na Portugal ichunguzwe kuna harufu ya upangaji matokeo
Hawaendi popote.Kuna kitu hakipo sawa. Bora wangekuwa wanampa Ronaldo dakika za mwishoUreno atatolewa mapema sana timu ina ubinafsi mkubwa sana ona dogo kafosi kufunga mwenyewe na ronaldo alikuwepo timu ina ubinafsi hatari hawa 32 kutoboa ngumu
Mbona ukiacha Tunisia timu zote za Africa zimetoboa next roundHahaha aisee Kongo wamefuzu.
😄😄😄wapenzi wa Goti hao, akina ScarsHalafu mtu anasema kabisa ureno anachukua ubingwa, labda wacheze illuminants
Kuna uhuni wameudanya timu zote 2,yani et wachezaji wanatembea na mpira, wanapata nafasi wanapiga nje.Ronaldo anapiga story sn ba James wa Colombia Unadhani hapo kuna ushindani wa dhati?Hiki kitu nimekiona kuna huyo dogo black WA Portugal hapo mwisho kapiga Mpira nje kabisa kujidai anatafuta angle badala ya kumpa pasi mwenzie Halafu anashika mashavu anatabasamu
Mwanangu sijasikia kabisa.Baridi ngoja niseti alamu
View attachment 3617073
Leo ni siku chungu sana kwake.. sijamuona jukwaani nahisi ametengeneza I'd nyingine imsaidie siku ya leo.😄😄😄wapenzi wa Goti hao, akina Scars
Na badoLeo ni siku chungu sana kwake.. sijamuona jukwaani nahisi ametengeneza I'd nyingine imsaidie siku ya leo.