2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mkuu kila mtu alikua anasema hivo hivo kuhusu Bayern mwaka huu, ila mm niliwabisha hawabebi uefa. Nakuambia hapa hafiki Final. Atabondwa na timu ya kawaida tu. Hua sishabikii kitu kinachopendwa na wengi ever!

Kwa hatua WC iliyofika now nabaki na timu mbili tu. Spain na Argentina naamini hawa wanaweza kufika mbali. Let see.....
Argentina inafika fainali. Wengine siwaoni kwa uhakika ila hao jamaa wako serious mno fainali wanafika.
 
Back
Top Bottom