Dahh!Huruhusiwi kumuacha kwasababu wanaume hatuwezi kuwapa choices
Wana mpango gani hawaOdergaad na yeye nje
Haina umuhimuGame ya Senegal vs Iraq haitajwi kabisa
Tulia mliwe mkuuWana mpango gani hawa
Sina timu hapo namshabikia Haaland tuTulia mliwe mkuu
Line ya mwisho umekosea banaMi ni shabiki wa Ronaldo lakini siku zote nitazungumza ukweli pale unapodhihirika.
Ingawa napenda sana namna Ronaldo anavyofunga, jinsi alivyokuwa ana dribble, anavyoji position, upigaji wake wa free kick, ufundi wa kupiga penati na mambo mengine anayofanya katika ubora.
Lakini kila mtu anajua ukweli halisi kwamba Messi ni bora kuliko Cristiano Romero.
View attachment 3616509
Haaland hana timu? Alipo upoSina timu hapo namshabikia Haaland tu
Sidhani maana timu zinazowania best losers zimejipanga kweliSenegal haendi mahali?
Nilikuwa najua we ni hater mkuu, ila hapa umeeleza uhalisia.Mi ni shabiki wa Ronaldo lakini siku zote nitazungumza ukweli pale unapodhihirika.
Ingawa napenda sana namna Ronaldo anavyofunga, jinsi alivyokuwa ana dribble, anavyoji position, upigaji wake wa free kick, ufundi wa kupiga penati na mambo mengine anayofanya katika ubora.
Lakini kila mtu anajua ukweli halisi kwamba Messi ni bora kuliko Cristiano Romero.
View attachment 3616509
Hapana timu yake ni uozo siitakiHaaland hana timu? Alipo upo