2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mwendo wa kujitetea tu mkuu lakini ukweli ndo huo. Ni chuki toka moyoni. Thierry na ibra ndo viongozi wenu and its sad my 90 era goat R9 nae ana hizo hizo chuki kisa jina lake limefukiwa
Hapa tunaongea ushabiki tu, sizani kama kunamtu anaweza akawa na chuki na Ronaldo kama unavyofikilia.
Ntaandika kitu kikukele ww shabiki wa CR7 na si kwamba namchukia.
 
Back
Top Bottom